Wednesday, June 26, 2019

Mwekekiti wa tasisi ya kusaidia watoto Zanzibar akionyesha dawa

Mwenyekiti wa AZCA, Bahiya Bakari Aly akionyesha dawa maalum anayotumia mtoto mwenye tatizo la kutopata choo na hadi atumie dawa hiyo ndipo haja kubwa itoke.

Ilikua jana ambapo taasisi hii ilikwenda kumetembelea mtoto huyo huko ZIWATUWE AMANI kisiwani unguja.

No comments:

Post a Comment